Mafuriko ya Rufiji Yametengenezwa
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir Tanzania kwa unyenyekevu mkubwa inatoa mkono wa rambi rambi na kuwafariji wahanga wote wa mafuriko yaliyotokea katika wilaya za Rufiji na Kibiti, mkoani Pwani.