Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Yawaomboleza Mashababu wake Wawili Waaminifu Hanafi Salman na Bahauddin Anghai Na Mmoja wa Dada zake wenye Ikhlasi Maqbula Yakar Angay

Katika tetemeko la ardhi tulilolishuhudiwa mnamo Jumatatu, Februari 6, 2023, wawili wa Mashababu wetu waaminifu na mmoja wa dada zetu wema walibaki chini ya kifusi hadi waliposalimisha roho zao kwa Mwingi wa Rehema

Soma zaidi...

Je, sio Wakati sasa wa Kuiwajibisha Marekani na Nchi za Kimagharibi, Wachochezi wa Ugaidi?!

Mnamo Jumapili, Novemba 13, 2022, shambulizi baya la kigaidi lilifanyika Taksim, Istanbul, ambapo mlipuko uliua watu 6, wakiwemo watoto 2, na kujeruhi watu 81. Mamlaka zilitangaza kwamba shambulizi hilo la kigaidi lilitekelezwa kwa maagizo ya Chama cha Wafanyikazi wa Kurdistan/Chama cha Umoja wa Kidemokrasia/Vitengo vya Ulinzi wa Watu.

Soma zaidi...

Wale Wanao Halalisha (Mahusiano) na Umbile la Kiyahudi Watapata Fedheha Katika Maisha Haya ya Duniani na Adhabu Kali Akhera

Tangazo la uamuzi wa kubadilishana uteuzi wa mabalozi lilichukuliwa kama moja ya hatua za mchakato wa kuhalalisha mahusiano unaoendelea kati ya Uturuki na umbile nyakuzi la Kiyahudi tangu mwaka jana. Wakati Waziri Cavusoglu aliposema: "Kama Uturuki, tumeamua kumteua balozi huko Tel Aviv.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu