Jumapili, 22 Muharram 1446 | 2024/07/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Kitengo cha Wanawake “Wito wa Dada kutoka Palestina kwenda kwa Majeshi ya Waislamu!”

Waislamu wa Gaza wanakabiliwa na mauaji ya kimbari na umwagaji damu ambao umepitiliza mikononi mwa umbile halifu la Kiyahudi. Maelfu ya wanawake wasio na hatia na watoto wameuawa. Wakati huo huo, Waislamu katika Ukingo wa Magharibi wangali wanauawa na kutishiwa na genge la Mayahudi.

Soma zaidi...

Enyi Askari katika Majeshi ya Waislamu, “Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka?” [Hud:78]

Ni karibu mwezi mmoja sasa tangu uvamizi mkubwa wa wanyakuzi wa Kiyahudi huko Gaza, pamoja na Ukingo wa Magharibi, na Lebanon. Wamewauwa watu, wazee, wanawake na watoto, na wameharibu miti na mawe katika vitendo vilivyo zidi uhalifu wote na zaidi ya aina yoyote ya uvamizi! Ilhali watawala bado wamekaa kimya, na wanapozungumza, ni kuhesabu idadi ya waliokufa shahidi, kujeruhiwa, na maeneo yaliyoharibiwa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Amerika: Amali Pana za Kuyataka Majeshi ya Waislamu Kuikomboa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Amerika iliandaa amali pana katika miji mbali mbali kutoka Amerika Mashariki hadi Magharibi yake zikiyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wauaji wanyakuzi.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir Kenya yafanya Maandamano baridi kutoa mwito kwa Majeshi ya Kiislamu Wakomboe Al-Aqsa kutoka kwa Makucha ya Umbile la Kiyahudi

Kufuatia mauaji ya halaiki yanayoendelea kufanywa na serikali ya kinyama ya kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza, Hizb ut Tahrir Kenya iliweza kufanya maandamano baridi mnamo siku ya Ijumaa Oktoba 20,2023 katika miji ya Nairobi na Mombasa sambamba na miji mengine ya pwani.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Afghanistan: Msururu wa Makongamano ya Kunusuru na Kuomba Nusra kwa ajili ya Ukombozi wa Msikiti wa Al-Aqsa!

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Afghanistan iliandaa msururu wa makongamano na amali kubwa zilizohudhuriwa na maelfu ya watetezi na waungaji mkono wanaotaka kutaharaki kwa majeshi ya Waislamu ili kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na najisi ya Mayahudi wahalifu katili.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Kikao cha Kutafuta Nusra kwa ajili ya Watu wetu huko Gaza, na Kuyaomba Nusra Majeshi, na Kuyataka Yatangaze Jihad!

Kwa mwaliko kutoka kwa Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon, Swala ya Ijumaa iliswaliwa pamoja na kikao cha utafutaji nusra katika "Uwanja wa Al-Nour" jijini Tripoli Al-Sham kwa kichwa "Nusra kwa watu wetu huko Gaza na kuyaomba nusra majeshi ya Umma na kuyataka kuvunja mipaka na kutangaza jihad.”

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka “Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine.” [Al-Tawba: 39]

Kwa kuwaombea nusra Waislamu kupitia kuangushwa viti vya watawala wasaliti na kusonga kwa majeshi ili kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wahalifu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu