Msikiti wa Al-Aqsa: Amali za Ijumaa – Ramadhan Tukufu 1443 H
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Warithi wa Kitabu Wao ndio Watakaosimamisha Khilafah!] Kwa Fadhila za Sheikh Said Al-Karami (Abu Abdul Rahman
Warithi wa Kitabu Wao ndio Watakaosimamisha Khilafah!] Kwa Fadhila za Sheikh Said Al-Karami (Abu Abdul Rahman
Mauaji kwa Mauaji, na leo mauaji ya kutisha huko Maarat al-Nasan.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaendesha kampeni ya mitandao ya kijamii katika mwezi mtukufu wa Ramadhan.
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wanaozuru kurasa za Afisi Kuu ya Habari katika kipindi cha mwezi Mtukufu wa Ramadhan wa mwaka huu 1443 H - 2022 M silsila mpya ya video katika vipindi vya Al-Waqiah TV kwa anwani
Kalima ya Dkt. Nazreen Nawaz
Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanawake katika Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwingi Kurehemu, na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote, aliyeteremsha Qur'an na akatuchagulia Uislamu kuwa ndio Dini yetu, na rehma na amani zimshukie yule aliye anzisha Umma wa Kiislamu, bwana wa viumbe, bwana wetu Muhammad na juu ya familia yake na maswahaba zake wote.
Katika mkusanyiko mkubwa wa taadhima uliofanywa na Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa – Palestina mnamo siku ya Jumatano, Machi 23, 2022, watu wa Palestina walitangaza kukataa kata kata Sheria ya Ulinzi wa Familia inayotokana na CEDAW, ambayo Mamlaka ya Palestina inakusudia kuiidhinisha.