Jumamosi, 28 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/20
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Umuhimu wa Kuwa na Fahamu Sahihi za Kisiasa kwa ajili ya Kuhuisha Umma wa Kiislamu

Mwenyezi Mungu (s.w.t.) aliteremsha aya hii mjini Madina akizungumzia matendo ya wanafiki ambapo walikuwa wakiwafanyia matatizo Waislamu waliokuwa wakiishi katika Dola ya Kiislamu. Qur’an iliteremshwa kwa ajili ya wanadamu mpaka Siku ya Kiyama, na tunaangalia maana ya jumla ya aya bila ya kuweka mipaka kwenye sababu mahususi ambayo kwayo aya hiyo iliteremshwa.

Soma zaidi...

Je, Maandamano ya Iran Yanaweza Kufanikiwa?

Maandamano nchini Iran sasa yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya mwezi mmoja nchini Iran tangu kifo cha Mahsa Amini mikononi mwa polisi wa maadili wa Iran, alipokamatwa kwa kukiuka kanuni za mavazi za nchi hiyo. Maandamano hayo yaliyotokea ni makubwa zaidi utawala huo wa watu wa dini kuwahi kukabiliana nayo kwa muda mrefu.

Soma zaidi...

Waziri wa Mambo ya Ndani wa India Amit Shah Anaongoza katika "Ni Nani anacheza ngumu dhidi ya Waislamu!"

Mnamo tarehe 28 Septemba 2022, Serikali ya India ya BJP ilipiga marufuku shirika la India la Popular Front na mashirika mengine 8 yanayohusiana yaliyosajiliwa kwa miaka 5. Serikali ilidai kuwa imepiga marufuku PFI na makundi washirika wake kwa madai ya kufanya "shughuli zisizo halali" ambazo "zinaathiri uadilifu, uhuru na usalama wa nchi".

Soma zaidi...

Je! Utawala wa Kifalme Utaweza Kubakia Hai?

Kifo cha Malkia Elizabeth II kimeifanya Uingereza kuingia katika kipindi cha maombolezi ya pamoja. Upeperushaji mpana wa mazishi na utawala wa malkia wa miongo saba umeshughulisha watu. Kumekuwa na mihemko na rambirambi kutoka kote ulimwenguni huku wengi wakimuona Malkia Elizabeth II kama mtu thabiti katika siasa za Uingereza.

Soma zaidi...

Hukmu za Uislamu kuhusiana na Jinsia, Jinsia Isiyofahamika, na Kubadili Jinsia

Mnamo tarehe 5 Septemba 2022, Seneta wa Pakistan Mushtaq Ahmad aliwasilisha mswada wa marekebisho katika Sheria ya Kuwalinda Wanaobadili Jinsia, 2018, kwa Kamati ya Kudumu ya Seneti ya Haki za Kibinadamu. Katika mkutano huo, Seneta Mushtaq Ahmad, alisema kuwa, "Transgender ni neno la Kimarekani, halina nafasi katika Uislamu, na sheria kuhusu jamii ya watu waliobadili jinsia ni kinyume na Qur'an na Sunnah na itakuza ushoga."

Soma zaidi...

Je, Inaweza Kusemwa Kuwa Zama za Ustawi wa Maendeleo ya Kisayansi Katika Ulimwengu wa Kiislamu ni Zao la Falsafa za Kigeni?

Waislamu lazima waibuke kutoka katika mporomoko. Hili angalau linakubalika kwa wote, waliberali na wanaharakati wa Kiislamu. Hata hivyo, tafauti inakuja katika fikra zinazopelekea katika uoni huu. Msukumo kwa msimamo wa waliberali ni maendeleo ya ajabu ya kisayansi na ya vitu ya Wamagharibi, ambayo yanaweka kipimo kwa waliberali.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu