Jumamosi, 04 Jumada al-awwal 1447 | 2025/10/25
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Kwa Mara ya Pili, Hotuba za Halaiki Zilitolewa dhidi ya Mfumo wa Makubaliano katika Msikiti Mkuu wa Khartoum

Katika muendelezo wa kampeni dhidi ya Mfumo wa Makubaliano, Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Sudan ilitoa hotuba za halaiki kwa mara ya pili leo Jumatano tarehe 4/1/2023 M, baada ya swala ya Adhuhuri katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, zikibainisha hatari ya fikra ya uhuru iliyodhaminiwa na Mfumo wa Makubaliano hayo.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Ugawanyaji kwa Mara ya Pili, wa Karatasi zenye Kupinga Mfumo wa Makubaliano!

Katika muendelezo wa kampeni inayofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan dhidi ya mfumo wa makubaliano, hizb iligawanya karatasi kwa mara ya pili mnamo Jumanne tarehe 3/1/2023 M katika Msikiti Mkuu wa Khartoum, kuonyesha ufisadi wa kile kilichoelezwa katika makubaliano hayo, na miongoni mwa yaliyoelezwa ndani yake: Tukatae mfumo wa makubaliano hayo na tuyapinge...

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 24/11/2022

Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo na mikoa tofauti tofauti ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na suluhu zake zinazohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha, ambazo zinashughulikia mapigano na migogoro ya kikabila inayoendelea katika maeneo mbalimbali nchini...

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Ripoti ya Habari 25/10/2022

Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo na mikoa tofauti tofauti ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha, ambazo zilishughulikia rasimu ya katiba ya mpito na kodi na ushuru mbalimbali.

Soma zaidi...

Ripoti ya Habari ya Sudan

Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika wilaya na mikoa mbali mbali ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na suluhu zake zinazohusiana na mifumo mbali mbali ya maisha, ambazo zimeshughulikia mgogoro ya utawala na mipango inayopendekezwa kuutatua, na maafa ya mafuriko na mvua zilizonyesha katika mikoa mbalimbali nchini...

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu