Wilayah Pakistan: Baada ya Amerika Kushindwa kwa Fedheha nchini Afghanistan, Simamisheni Khilafah Kummaliza Raj Mkoloni wa Kiamerika
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Silaha za kisasa za majeshi waoga wa Amerika hazikulingana na Waislamu wenye silaha duni ambao hawakumuogopa yeyote isipokuwa Mwenyezi Mungu (swt), huku wakitamani kuuawa mashahidi au ushindi.