Ni Nani Anayeupiga Vita Ummah?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Takriban watu 24, wakiwemo watoto, wameuawa katika milipuko katika eneo la kijijini la Khyber Pakhtunkhwa kaskazini magharibi mwa Pakistan, na kusababisha wito wa uchunguzi wa tukio hilo. Hakuna taarifa rasmi iliyotolewa kuhusu mauaji ya raia hao wakiwemo wanawake na watoto. (aljazeera.com)