Watawala wa Pakistan Wanataka Kulitambua Umbile la Kiyahudi
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 18 Oktoba, mkuu wa jeshi Asim Munir alithibitisha tena uungaji mkono usioyumba wa Pakistan kwa suluhisho la dola mbili kwa msingi wa mipaka ya kabla ya 1967, na Jerusalem kama mji mkuu wa Palestina huru.



