Kazakhstan na Afghanistan zote Zinafuata Mfumo wa Kibepari!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shirika la habari la Kazinform liliripoti mnamo tarehe 29 Disemba: “Mamlaka za Kazakh zimeamua kuwaondoa Taliban kutoka kwenye orodha ya mashirika yaliyopigwa marufuku. Mwakilishi rasmi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Kazakhstan Aibek Smadiyarov alimwambia mwandishi wa Kazinform.