Watawala wa Mfumo wa Kirasilimali Wana Ujanja Mkubwa Katika Kuwahadaa Watu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais Erdogan, katika taarifa alizozitoa baada ya Mkutano wa Rais wa Baraza la Mawaziri, alitangaza kuwa madeni ya watu milioni 5.5 ambao wako chini ya taratibu za utekelezaji yatafutwa.