Jumanne, 06 Shawwal 1447 | 2026/03/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Watawala wa Pakistan Wanaishawishi Taliban ya Afghanistan katika Mtego wa Uhalali wa Kimataifa, Licha ya Kuwa Umeiumiza Pakistan Kisiasa na Kiuchumi

Mnamo 23 Agosti 2021, Mrengo wa Uenezi wa Nje wa Pakistan ulituma ujumbe wa tweet wa taarifa moja kutoka kwa Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Pakistan, Moeed Yusuf, ikisema, "Tumeweka wazi kabisa kuwa tuko pamoja na jamii ya kimataifa mahali inapokwenda."

Soma zaidi...

Afghanistan Imo Ndani ya Majaribio ya Kihistoria baina ya Kusimamisha Khilafah au Kutabikisha Nidhamu Zilizotungwa na Wanadamu; Msipoteze Wakati Simamisheni Khilafah!

Matukio ya ghafla na yasiyotabirika nchini Afghanistan kwa mara nyengine tena yameiweka nchi hiyo katika njia kwa vikundi anuwai vya kisiasa, viongozi wa kikabila na watu wenye ushawishi kufanya uamuzi juu ya mfumo wa kisiasa wa mustakbali nchini Afghanistan.

Soma zaidi...

Utegemezi wa Watawala wa Pakistan juu ya Dola za Wakoloni, Haswa Amerika, ndicho Kikwazo kwa Utawala wa Uislamu wa Kieneo na Kiulimwenguni.

Wapiganaji elfu chache, wenye silaha duni, wa upinzaji wa Afghanistan sasa wamewekwa nje kidogo ya Kabul, wakiwa tayari kukizika kiburi cha dola ya tatu ya wakoloni katika makaburi ya himaya, chini ya ardhi iliyomwagiliwa na damu safi ya majeshi ya mashahidi,

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu