Jumatano, 30 Safar 1446 | 2024/09/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kukamatwa Miongoni mwa Wanachama wa Hizb ut Tahrir Je, Vinywa Visemavyo Ukweli Huzibwa Kwa Manufaa ya Nani?!

Kufuatia usambazaji wa toleo la Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, lenye kichwa: "Kuporomoka kwa Dola ya Usasa, Hakuna Wokovu Isipokuwa katika Dola ya Khilafah", jana, Alhamisi 01/02/2023, Eneo la Usalama katika Nyumba ya Tamim lilimkamata mwanachama wa Hizb ut Tahrir, Ndugu Adil Al-Ansari, baada ya wito kutumwa kwake.

Soma zaidi...

Kati ya Kuwakandamiza Waislamu na Kuwatishia wa Mabaniani kwa Waislamu, Serikali ya Modi inaandaa Kampeni yake ya Uchaguzi Ujao

Hii hapa serikali kichaa maarufu ya Modi, ikihofia hatima yake katika uchaguzi ujao. Inaregea, kwa mara nyengine tena, sera za kukuuza hisia za tashwishi na hofu, miongoni mwa matabaka ya jamii, ikijionyesha kama mwokozi wa wapiga kura wake.

Soma zaidi...

Ushujaa wa Watu wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina Hauwezi Kushutumiwa!

France 24 iliripoti kwenye tovuti yake, Jumamosi, Januari 28, 2023, kwamba baadhi ya nchi za Kiarabu, ikiwemo Misri, Jordan na Imarati, zililaani shambulizi lililoua angalau 'Waisraeli' saba katika ufyatuliaji risadi uliowalenga waumini karibu na sinagogi la Kiyahudi katika mtaa wa makaazi katika Jerusalem Mashariki inayokaliwa kimabavu.

Soma zaidi...

Bila Dinari za Dhahabu na Dirham za Fedha za Uislamu, Sarafu Yetu Daima Itaporomoka Mbele ya Dolari. Utawala wa Dolari Unadumishwa na IMF, Mlinzi wa Mfumo wa Fedha wa Kimataifa wa Kimagharibi

Kwa kuzingatia masharti ya IMF, serikali ya Pakistan ilishusha ghafla thamani ya rupia kwa karibu rupia ishirini na tano, ambayo ni asilimia kumi ya thamani yake, na kusababisha dhoruba ya mfumko wa bei.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu