Jumatatu, 23 Shawwal 1446 | 2025/04/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ufisadi Nchini Kenya

Kwa mara nyingine tena, Kenya iko katika kurunzi ya ulimwengu kuhusiana na ufisadi. Kwa mujibu wa utafiti kuhusiana na matukio ya uhalifu wa kiuchumi uliotolewa jijini Nairobi mnamo Ijumaa 26 Februari 2016 na kampuni ya uhasibu ya Price Waterhouse Coopers (PwC), Kenya imeorodheshwa nchi ya tatu fisadi zaidi ulimwenguni.

Soma zaidi...

Usekula Unapanda Uovu Wake kwa Dini Kuu

Tunakemea vikali sheria hizi ambazo kwa uhalisia ni dhihirisho la uchafu na ufisadi wa fikra ya kisekula ambayo imewapa wanadamu uhuru wa kutunga sheria na kukiuka utukufu wa kidini. Tunaeleza kinaga ubaga kuwa sheria hizi zilizopendekezwa ni kinyume na ile inayodaiwa kuwa ni haki ya kikatiba ya uhuru wa kuabudu na kwamba dola haipaswi kuingilia dini!

Soma zaidi...

Mgogoro wa Kifedha: Thibitisho Jingine la Udhaifu wa Uchumi wa Kirasilimali

Hazina ya Taifa imekiri waziwazi kuwa Kenya kwa sasa inakumbwa na mgogoro wa kifedha. Waziri wa Fedha Henry Rotich amefafanua kuwa jumla wa mikopo ya ndani na ya kimataifa ambayo muda wake wa malipo umewadia imesababisha migogoro ya kifedha na mwendo wa kinyonga wa ukusanyaji ushuru umechangia pakubwa hali hii.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir Afrika Mashariki Inatoa Mwito Kabla ya Mwisho… kwa Ummah wa Mafanikio Makubwa Kabisa

Wanachama wa Hizb ut Tahrir Afrika Mashariki, Ijumaa iliyopita, kwa kuingia Ramadhan (2 Ramadhan 1436 H / 19 Juni 2015) walikuwa na wasaa mzuri wa kukutana na wanachama wengine wa Hizb kote ulimwenguni kufikisha ujumbe maalumu kutoka kwa Amiri wa Hizb unaojulikana kama "Mwito Kabla ya Mwisho… kutoka kwa Hizb ut Tahrir"

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu