Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir Afrika Mashariki Inatoa Mwito Kabla ya Mwisho… kwa Ummah wa Mafanikio Makubwa Kabisa

Wanachama wa Hizb ut Tahrir Afrika Mashariki, Ijumaa iliyopita, kwa kuingia Ramadhan (2 Ramadhan 1436 H / 19 Juni 2015) walikuwa na wasaa mzuri wa kukutana na wanachama wengine wa Hizb kote ulimwenguni kufikisha ujumbe maalumu kutoka kwa Amiri wa Hizb unaojulikana kama "Mwito Kabla ya Mwisho… kutoka kwa Hizb ut Tahrir"

Soma zaidi...

Ufahamu wa Kimakosa Kuhusu Hizb ut Tahrir kuwa ni 'Chama cha Kisiasa'

Mara tu baada ya kumalizika kwa Kongamano la Kimataifa la Khilafah lililo andaliwa na Hizb ut tahrir Afrika Mashariki mnamo 27 Rajab 1430 H (19 Julai 2009) katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni, Dar es Salaam, kongamano la kipekee lililo faulu lililo hudhuriwa na maelfu ya watu wa jinsia zote mbili, hisia mchanganyiko ziliibuka hususan kuhusiana na ufahamu wa kimakosa kuhusu maana ya Hizb ut Tahrir kuwa ni chama cha kisiasa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu