Jumapili, 12 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Enyi Waislamu, Komesheni Machafuko Duniani kwa Kuwa na Tawakkul kwa Mwenyezi Mungu (swt) na Shariah Yake na Fanyeni Kazi kwa ajili ya Khilafah

Tangu kuvunjwa kwa Khilafah mwaka 1924, kila kona ya dunia imekuwa katika machafuko ya kuendelea. Hii ni licha ya kuwa kumekuwa na maendeleo katika teknolojia, matibabu, kilimo, jeshi, na inaonekana maendeleo katika siasa na katika kujenga haki sawa kati ya jinsi na jinsia.

Soma zaidi...

“...Na ilikuwa ni haki juu yetu kuwanusuru Waumini.”

Hali chungu ya Waislamu na maisha yao duni katika sehemu zote za ardhi haifichiki kwa mtu yeyote. Popote unapogeuza macho yako, utaona mataifa yanayopigana dhidi yao na nchi zao na uwezo wao, na watawala wao wahalifu wanawatawala, na utaona vita, umaskini, njaa, ukosefu wa usalama na vikwazo juu yao katika kutekeleza ibada zao na kushikamana na ibada za dini yao.

Soma zaidi...

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan Ulikutana na Mkurugenzi wa Polisi wa Forodha na Naibu Mkurugenzi wa Polisi huko Wadi Halfa

Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Sudan ukiongozwa na Ustadh Abdul-Azim Issa- Mwanachama wa Hizb ut Tahrir, ukifuatana na Ustadh Bilal Ali - Mwanachama wa Hizb ut Tahrir, na Issam Yusuf, na Abdullah Mahjoub, ambao ni waungaji mkono wa hizb, walikutana katika ziara ya kwanza mnamo Jumapili tarehe 12/02/2023 na Brigedia Jenerali Sir Al-Khatam Ahmad Othman - Mkurugenzi wa Polisi wa Forodha wa Wadi Halfa.

Soma zaidi...

Kupotea Kwa Fedha za “Plea Bargain” Kumefichua kuwa Suala Halisi ni Manufaa ya Kibinafsi na sio Haki

Mapema mwezi huu wa Februari 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan alisema kuwa serikali yake inachunguza akaunti ya benki ya nje iliyoko nchini China ambako zimefichwa fedha zilizokusanywa kutokana na ‘Makubaliano ya Kukiri Makosa’ (Plea bargain).

Soma zaidi...

Hotuba ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan katika Mkutano na Waandishi wa Habari uliofanywa na Shirika la Habari la Sudan (SUNA) kwa Anwani: Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan Yazindua Kampeni ya Kupambana na Mihadarati

Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye ametukirimu kwa akili, na ametufadhilisha juu ya wengi walioumbwa kwa upendeleo, basi akatuongoza kwenye Uislamu, na akatujaalia kutoka katika Ummah wa watu bora zaidi, na swala na amani zimshukie mjumbe kama rehma kwa walimwengu wote

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari: 09/11/2022

Taarifa iliyovuja kutoka kwa maafisa wa Amerika kuitaka Ukraine kuanza majadiliano na Urusi, kulingana na ripoti. Ingawa Amerika haijaitisha mazungumzo ila ndio mara ya kwanza kutaka kutoa wazo la kufunguliwa mlango wa mazungumzo kwa umma. Kuvuja huko kwa taarifa hiyo kumekuja wakati ambapo kuna mkutano wa G20 utakaofanyika 15 Novemba

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu