Matetemeko ya Ardhi katika Ardhi za Waislamu - Ukumbusho wa Nguzu za Mwenyezi Mungu na Kufeli kwa Watawala wa Sasa
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tangu Jumatatu asubuhi, zaidi ya watu 11,000 wamekufa baada ya matetemeko makubwa ya ardhi kupiga miji mingi kote Uturuki na Syria. Idadi ya vifo inaongezeka huku watu wakisakwa na kupatikana wakiwa wamefukiwa chini ya majengo na vifusi.