Imam kutoka Crimea Afungwa Miaka 17 Jela kwa Kulingania Uislamu!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Januari 12, shirika la habari la BBC NEWS liliripoti kwenye ukurasa wake wa lugha ya Kirusi: "Mahakama ya kijeshi huko Rostov-on-Don ilimhukumu Imam Raif Fevziev, anayezuiliwa nchini Crimea iliyounganishwa na Urusi, miaka 17 katika gereza kali la serikali.