Ijumaa, 10 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Watoto wa Palestina Wanalilia Majeshi ya Waislamu

Tangu mwanzoni mwa 2022, zaidi ya watoto 45 wa Kipalestina wameuawa shahidi, na uvamizi wa Kiyahudi umeongezeka katika Ukingo wa Magharibi na Jerusalem, katika wiki chache zilizopita, ambao umesababisha vifo vya watoto zaidi, wa mwisho wao akiwa ni mtoto Mahmoud Al-Samoudi, mwenye umri wa miaka 12, ambaye alifariki kutokana na majeraha aliyoyapata.

Soma zaidi...

Waislamu wa Dearborn, Michigan Wasimama Imara kwa ajili ya Ulinzi wa Watoto Wetu Uislamu dhidi ya Ajenda ya Kisekula ya LGBTQ

Macho yote yako kwa Dearborn, Michigan - nyumbani kwa mkusanyiko wa idadi kubwa zaidi ya Waarabu-Waamerika nchini - kama wazazi, haswa na wazazi Waislamu, kwa ujumla wakipinga usambazaji wa vitabu viovu vya LGBTQ katika mfumo wa shule za umma wa jiji hilo.

Soma zaidi...

Tukio la Kifedha la Uingereza

“Mnamo Ijumaa asubuhi, Chansela wa Hazina ya Uingereza, Kwasi Kwarteng, aliitwa siku moja kabla kurudi London kutoka Marekani moja kwa moja hadi Downing Street, ambako aliachishwa kazi yake. Hatua hiyo ilikuja wiki tatu baada ya Kwarteng kutangaza bajeti ndogo yenye utata iliyojaa hatua za kupunguza ushuru ambazo hazijafadhiliwa zilizopelekea masoko ya fedha kudorora.

Soma zaidi...

Porojo za Vita Dhidi ya Ugaidi Zinaendelea

Mnamo Jumatatu tarehe 19/09/2022 Tanzania iliungana na nchi nyingine za Afrika katika kutekeleza Itifaki ya Mkataba wa Umoja wa Afrika (AU) wa Kuzuia na Kupambana na Ugaidi. Baada ya kupitishwa azimio la kuridhiwa kwa itifaki hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Yusuph Masauni alisema kuwa Tanzania ina nafasi kubwa ya kupata manufaa kadhaa, ikiwa ni pamoja na kuimarisha ulinzi na usalama wa wananchi na mali zao na kurahisisha ubadilishanaji wa taarifa za kiintelijensia kuhusu ugaidi kupitia ushirikiano wa karibu kutoka kwa nchi wanachama.

Soma zaidi...

Afya ya Watoto wa Umma iko Hatarini bila ya Khilafah

Mnamo tarehe 20 Oktoba 2022, BBC iliripoti kwamba Indonesia imepiga marufuku uuzaji wa dawa zote za kikohozi za watoto baada ya watoto 99 kufariki kutokana na kufeli kwa figo. Iligunduliwa kuwa viwango vya juu vya sumu haramu vilikuwepo ndani ya dawa zilizochafuliwa. Maafisa wanahofia kwamba idadi kamili ya vifo haijajulikana kwani dawa hizo zilikuwa na mzunguko mkubwa.

Soma zaidi...

Kukamatwa kwa Wabebaji Da’wah kutoka kwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir na Mamlaka za Houthi ni Jinai ambayo kwayo watahesabiwa mbele ya Al-Aziz Al-Jabbar

Mnamo Alhamisi, Oktoba 23, 2022, mamlaka za Houthi nchini Morocco zilimkamata Ustadh Muhammad Musaad Al-Warafi (miaka 57), mmoja wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir kutoka Msikiti wa Al-Hikma katika Jimbo la Ibb, baada ya kutoa hotuba ambayo kwayo ilifafanua Rasimu ya Katiba ya Dola ya Khilafah ambayo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) alitoa bishara yake njema pale aliposema

Soma zaidi...

Maandamano ya Pegida; Chombo Chengine tena Kinachotumiwa Kuhalalisha Chuki Dhidi ya Uislamu

Pegida (kundi la wazungu wazalendo dhidi ya kuenea kwa Uislamu Ulaya) lilitakiwa kuandamana mnamo Jumamosi, tarehe 22 Oktoba 2022, katika eneo la Stationsplein karibu na kituo cha Rotterdam Central ambapo walipanga kuteketeza Qur’an. Mnamo Jumapili, tarehe 23 Oktoba, waliandaa pia kuteketeza Qur’an.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu