Ijumaa, 10 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mapigano Mapya ya Kimakundi kati ya Vipengee vya Mfumo na Makundi Yanayohusishwa ni Jinai dhidi ya Mapinduzi ya Ash-Sham na Kupuuza Hatima yake

Maeneo ya Ngao ya Furat na Operesheni Tawi la Mzaituni, kaskazini na kaskazini-magharibi mwa Aleppo, yameshuhudia mapigano makali kwa siku kadhaa kati ya vipengee vya mfumo wa makundi yanayohusishwa na utawala wa Uturuki, kutokana na kuhusika kwa wapiganaji wa Kitengo cha Hamza katika mauaji ya mwanaharakati wa vyombo vya habari Muhammad Abu Ghannoum na mkewe, ambaye alitumiwa kama kisingizio cha kutatua hesabu na kupanua ushawishi na udhibiti.

Soma zaidi...

Barua ya Mwaliko kutoka kwa Manispaa ya Amsterdam: Sera Dhahiri ya Uoanishaji!

Manispaa ya Amsterdam imealika bodi kadhaa za misikiti kutia saini taarifa ya kuunga mkono ambapo misikiti inalaani ghasia na ubaguzi dhidi ya jamii ya LGBTQ+. Barua hii ya Amsterdam kutoka kwa Meya Femke Halsema kwenda kwa ‘bodi zote za misikiti jijini’, ilikuja kujulikana baada ya Lody van de Kamp, rabbi (mwanachuoni wa Kiyahudi), kueleza hadharani ukosoaji wake dhidi ya kitendo hiki cha kibaguzi katika safu yake.

Soma zaidi...

Jibu la Swali Uzingatiaji Hadith kama Dalili katika Hukmu za Shari’ah

Uzingatiaji Hadith kama dalili katika Hukmu za Shari’ah

Dalili kwa ‘Aqidah lazima uwe ya kukatikiwa na yenye usahihi usio na shaka. Ndio maana riwaya ya mtu mmoja mmoja (khabar al-ahad) haifai kuwa dalili kwa ‘Aqidah hata kama ni Hadith Sahih katika maana na upokezi wake. Ama hukmu ya Shari’ah, dalili yake inaweza kuwa  isiyo ya kukatikiwa (thanni).

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu