Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo kwa Kichwa “Tunawaita Wale Waliojitolea na Kutoa!”
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo kwa Kichwa “Tunawaita Wale Waliojitolea na Kutoa!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo kwa Kichwa “Tunawaita Wale Waliojitolea na Kutoa!”
Kwa mnasaba wa miaka mia moja ya kuanguka Khilafah Uthmani mnamo Machi 3, 1924, Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon ilifanya kongamano mjini Tripoli lenye kichwa:
Imepita miaka 100 tangu kuvunjwa kwa Khilafah mnamo Machi 3, 1924 M, kuashiria karne kamili tangu maafa makubwa zaidi yaliyowakumba Waislamu katika historia yote ya Kiislamu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Amali ya Kuutafuta Mwezi Muandamo wa Ramadhan Al-Mubarak 1445 H
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 100 M (103 H) ya kuvunjwa Dola ya Kiislamu (Khilafah) na chini ya giza la uvamizi na mauaji ya halaiki yanayoendelea dhidi ya watu wetu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina), Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon ilifanya kongamano lenye kichwa: “Khilafah ndio Mkombozi wa Nchi na Mtetezi wa Waja”
Kwa mnasaba wa miaka 100 M (103 H) ya makafiri wakoloni kwa msaada wa makhaini wa Kiarabu na Kituruki, kuivunja dola ya Kiislamu (Khilafah Uthmani) na kuuondoa mfumo wa utawala katika Uislamu (Khilafah) kutoka katika maisha ya Umma wa Kiislamu, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa msururu/ wa makongamano, semina na mikutano mikubwa katika ngazi ya Uturuki.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa matembezi “Palestina ilipotea baada ya kuvunjwa Khilafah na kurudi kwake itaregea kama Khilafah kwa Njia ya Utume” baada ya Swala ya Ijumaa mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.
Kalima iliyotolewa na Ustadh Abdo Al-Dilli (Abu Al-Mundhir) wakati wa kisimamo kilichoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria siku ya Ijumaa, "Dhulma ya Madhalimu baada ya Masiku, ni Makaburi ya Madhalimu" katika mji wa Al-Bab.
Filamu ya Makala “Palestina Yote ni Wajibu Ikombolewe!"
Kwa kuzingatia mauaji ya halaiki ya kikatili ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi mitano iliyopita yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya 110,000.