Ijumaa, 10 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Turkestan Mashariki ni Jeraha la Umma Linalovuja Damu

Mnamo siku ya Ijumaa Septemba 16, baada ya Swala ya Ijumaa katika Misikiti ya Hajibayram jijini Ankara na Fatih jijini Istanbul, mauaji ya kinyama yaliofanywa na Makafiri wa Kichina kwa Waislamu wa Uighur huko Turkestan Mashariki ulipingwa vikali kupitia taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Koklu Degisim pamoja na ushiriki mkubwa wa Waislamu.

Soma zaidi...

Vichwa Vya Habari 14/09/2022

Hadhi ya Uraia wa Waislamu wa Uingereza imedunishwa hadi “daraja- la pili” ikiwa ni matokeo ya muendelezo wa udunishaji hadhi ya uraia wa watu, hayo yalidaiwa na mwanafikra mmoja. Taasisi ya Mahusiano ya Jinsia ‘The Institute of Race Relations (IRR)’ imesema malengo ya nguvu hizo hayawajumuishi Waislamu, raia wengi kutoka kusini mwa Asia wamekumbana na ubaguzi na hali ngumu katika uraia wao.

Soma zaidi...

Afrika Yalazwa Njaa Kikatili na Wakoloni wa Kibepari chini ya Uangalizi wa Viongozi wake Wafisidifu

Ripoti ya maeneo yanayokabiliwa na majanga ya mashirika mawili ya kimataifa (Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) imetoa onyo la mapema kuhusu ukosefu mkubwa wa chakula na kutoa mwito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kibinadamu ili kuokoa maisha na kuzuia njaa katika nchi zenye uhaba mkubwa wa chakula ambapo unatarajiwa kuwa mbaya zaidi kuanzia Oktoba 2022 hadi Januari 2023.

Soma zaidi...

Waislamu nchini Tunisia: Hakuna Wokovu bila ya Uislamu

Inatusikitisha kuona masaibu mnayoyapata na ugumu wa kuishi chini ya mfumo wa kishenzi wa kirasilimali ambao umekufanyeni muteseke kati ya kutimiza kwa uchache mahitaji yenu ya kila siku, baada ya bei kupanda sana, na kuhama na kupasua mawimbi ya bahari na ghaibu ya maisha katika kutafuta makombo ya Magharibi inayopora utajiri wenu.

Soma zaidi...

Watoto Wapendwa wa Ash-Sham Wafariki Baada ya Boti za Wakimbizi Kuzama. Je, Tunapoteza Wangapi Zaidi Bila Khilafah?!

BBC iliripoti mnamo tarehe 23 Septemba 2022 kwamba wakimbizi wahamiaji 71 walipatikana katika mashua inayozama nje ya pwani ya Syria. Makumi wameripotiwa kufariki. Watu 20 kati ya walionusurika walipelekwa katika jiji la Tartus kutibiwa hospitalini. Wanawake na watoto wa Lebanon, Syria na Wapalestina walikuwa miongoni mwa watu 120 hadi 150 waliokuwemo ndani.

Soma zaidi...

Uhakiki wa Habari 01/10/2022

Rais wa Urusi Vladimir Putin alitia saini amri Ijumaa ya kuyaunganisha majimbo manne ya Ukraine. Katika sherehe kubwa jijini Kremlin, alisema Urusi itajumuisha rasmi majimbo ya Ukraine ya Donetsk, Luhansk, Kherson na Zaporizhzhia - na kwamba watu wanaoishi huko "watakuwa raia wetu milele."

Soma zaidi...

Rupia Kubanwa kwa Dolari, Inahakikisha Kushuka kwa Thamani Yake. Katika Uislamu, Sarafu Inayoegemezwa juu ya Dhahabu na Fedha Itaokoa Pakistan na Ulimwengu wa Kiislamu kutokana na Utumwa wa Dolari

Serikali ya PDM inakabiliwa na hasira kali ya umma kutokana na mgogoro mkubwa wa sarafu, na dhoruba ya mfumko wa bei. Ili kutuliza umma, serikali imetangaza kuwa Waziri wa Fedha, Miftah Ismail, amebadilishwa kwa Ishaq Dar, ambaye ndiye aliyepewa jukumu la kuimarisha thamani ya Rupia.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu