Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 368
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wengi wa vijana wa Amerika wana wasiwasi kuhusu hali ya demokrasia nchini Amerika kulingana na kura mpya ya maoni ya Waamerika (umri wa miaka 18-29) iliyofanywa na Kitivo cha Harvard cha Kennedy.
Mnamo tarehe 12 Oktoba 2021, BBC iliripoti kuhusu Mkutano wa G20 wa nchi zenye uchumi mkubwa ambao umeahidi kusaidia Afghanistan kwa msaada wa mabilioni ya dolari ili kuepusha janga kubwa.
Khilafah itakusanya rasilimali zetu nyingi kama dola moja Mafuta ya Saudi Arabia na Iran
Ajenda ya Uturuki inatikiswa na kuporomoka kwa kiasi kikubwa kwa lira ya Uturuki dhidi ya dolari ya Amerika. Dolari ya Amerika, ambayo ilikuwa sawa na takriban lira 6 za Uturuki kipindi hiki mwaka jana, imevuka kiwango cha lira 13 za Uturuki.
Kwa uchache watu wanane waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati ghasia, haswa mapigano kati ya wafuasi wa wagombea, yalivuruga uchaguzi wa awamu ya tatu wa muungano wa parishad jana...
Wiki hii, Rais wa Tume ya Ulaya Ursula von der Leyen alitangaza ufadhili wa Euro bilioni 300 kwa mpango wa Global Gateway ambao ni jibu la EU kwa Mpango wa Ukanda na Barabara wa China. Rais wa EC alisema,
Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir Wilayah Pakistan ilituma wajumbe kwa Tume ya Haki za Kibinadamu Afisi za Pakistan jijini Karachi, Lahore na Islamabad.
Wakenya walikopa kutoka kwa mfumo wa FULIZA wa Safaricom shilingi bilioni 1.32 kila siku hii ikiwa ni kati ya mwezi Aprili na Septemba mwaka huu jambo linaloonesha wazi hali ya wakenya kutegemea mikopo kwa matumizi yao ya nyumbani.
Assalamu Alaikum Sheikh wetu mheshimiwa: kuna tofauti gani kati ya rai iliyotangulia na maalumati yaliyotangulia katika njia ya kufikiri.