Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 366
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut-Tahrir nchini Uswidi iliandaa kisimamo mbele ya Idara ya Uhamiaji ya Uswidi kutaka kusitishwa kwa uhamisho wa Ndugu Odiljon Jalilov,
Mnamo tarehe 1/11/2021 Serikali ya Tanzania ilianza zoezi la kuwahamisha maeneo mengine wafanyabiashara ndogondogo nchini maarufu kama "wamachinga" kufuatia maagizo ya Raisi kwa wakuu wa mikoa na wasaidizi wao.
Wanachama wa Hizb ut Tahrir/ Uingereza walishiriki katika kisimamo cha kuwanusuru Waislamu wa Uyghur mbele ya Ubalozi wa China jijini London, na Ubalozi mdogo wa China jijini Manchester, Jumamosi tarehe 13/11/2021.
Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina ilionya juu ya njama chafu ya kuishambulia Al-Khalil kwa kutumia mizozo ya kifamilia na kuibua taharuki kwa kuzifinika kwa kufiniko cha ukoo.
Jarida la Mukhtarat kutoka Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Toleo 55 Rabii' ath-Thani 1443 H - November 2021 M
Mnamo siku ya Ijumaa, tarehe 12/11/2021, Ujumbe wa Hizb ut Tahrir ukiongozwa na Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir, Mh. Salah Eddine Adada, akifuatana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir nchini Lebanon Mh. Saleh Salam,
Nchini Pakistan, kuanzia Julai 2018 hadi Juni 2021, rasilimali iliyo katika mzunguko ilipanuka kwa bilioni 2,300, huku amana za benki ziliongezeka kwa bilioni 6,000.
Waislamu nchini Uingereza walijitokeza kwa wingi katika Ubalozi wa China jijini London, na Ubalozi mdogo wa China jijini Manchester, kuandamana dhidi ya unyanyasaji wa kinyama wa ndugu zao na dada zao wa Uyghur mikononi mwa serikali katili ya China.