Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 361
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni miaka mitano sasa tangu Ijumaa tarehe 11 Mei 2012, wakati majambazi wa watawala wa Pakistan walipomteka nyara Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Pakistan
11 Mei 2019 ni miaka saba tangu Mhandisi Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, alipotekwa nyara na maafisa wa usalama, mbele ya watoto wake na majirani.
Ni miaka mitano sasa tangu Ijumaa tarehe 11 Mei 2012, wakati majambazi wa watawala wa Pakistan walipomteka nyara Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Pakistan. Kile kinachoitwa "uhalifu" wa Naveed Butt ni kwamba alikuwa ni sauti yenye ushawishi mkubwa nchini Pakistan kwa ajili ya kusimamishwa tena Khilafah kwa Njia ya Utume.
11 Mei 2019 ni miaka saba tangu Mhandisi Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, alipotekwa nyara na maafisa wa usalama, mbele ya watoto wake na majirani. Katika miaka saba mirefu, Naveed hajaruhusiwa kuwasiliana na familia yake kwa vyovyote vile, hata mara moja, iwe kwa simu au ana kwa ana. Hakika, utekwaji nyara ni mateso ya hali ya juu, yenye kuiadhibu familia pamoja na muumini.
Mnamo tarehe 13/10/2021, RFE / RL ilichapisha yafuatayo: “Mnamo Oktoba 13, Tume ya Amerika ya Uhuru wa Kidini wa Kimataifa (USCIRF) ilichapisha ripoti yake ya mara kwa mara juu ya Uzbekistan.
Mnamo tarehe 10 Oktoba 2021, Waziri Mkuu Imran Khan alitangaza kuanzishwa kwa Mamlaka ya Rehmatul-lil-Alameen (Rehema kwa Wanadamu) nchini ili kuhakikisha utekabikishaji wa mafundisho ya Mtume Mtukufu (saw) katika jamii.
Vyombo vya Habari vya kilimwengu vimejaa taarifa ya kuondoka kwa vikosi vya Amerika nchini Afghanistan.
Mwezi wa ulioteremshwa Qur'an Tukufu, Ramadhan, unashuhudia kutekwa nyara kwa mja mwaminifu wa Mwenyezi Mungu (swt), aliyelingania hukmu kwa yale yote yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt).
Msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, Naveed Butt, anaendelea kutekwa nyara tangu tarehe 11 Mei 2012, wakati majambazi kutoka kwa mashirika ya serikali walipomteka nyara kwa nguvu nje ya nyumba yake jijini Lahore, mbele ya watoto wake na majirani waliojaa hofu.