Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Hajj Zidan Abdel Fattah Masoudi (Abu Tayseer Masoudi)
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut-Tahrir katika Wilayah ya Jordan anamuomboleza mbebaji da'wah, Hajj Zaidan Abdel Fattah Masoudi (Abu Tayseer Masoudi), ambaye alikwenda katika rehema ya Mwenyezi Mungu (swt) akiwa na umri wa miaka 84 ambao aliutumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na kubeba ulinganizi wa kurudisha tena maisha ya Kiislamu kupitia kusimamisha Khilafah Rashida ya pili kwa njia ya Utume.