Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kampeni, "Khilafah Inakomboa Kashmir"
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kampeni, "Khilafah Inakomboa Kashmir"
Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kampeni, "Khilafah Inakomboa Kashmir"
Waziri wa Ujasusi katika umbile la Kiyahudi, Eli Cohen, alikutana na Mwenyekiti wa Baraza la Enzi kuu Abdel Fattah Al-Burhan, Waziri wa Ulinzi Yassin Ibrahim, na Waziri Mkuu Abdullah Hamdok, na ilikubaliwa,
Kikundi cha watu wa Kafar Takharim, miongoni mwa wahamiaji kutoka Daraa, na wakaazi wa Kafar Takharim, walijitokeza baada ya swala ya Ijumaa, katika kisimamo ambacho kiligeuka kuwa maandamano ambayo yazagaa mabarabarani kuunusuru mji wa Tafas huko Daraa.
Tangu serikali mpya ya Umoja wa Kitaifa ya Zanzibar chini ya Raisi Hussein Mwinyi kuingia madarakani imeonekana kana kwamba ina dhamira ya kweli kurejesha uwajibikaji, kukabiliana na ufisadi, rushwa na vitendo vya ubadhirifu wa mali za Umma vilivyotendwa na baadhi ya maafisa wa serikali iliyotangulia.
Majadiliano kati ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Süleyman Soylu, na Waziri wa Haki, Abdulhamit Gül, yalitia muhuri kwenye ajenda ya kisiasa ya Uturuki.
Mabadiliko ya kisheria yaliyopangwa na Serikali ya Kurz ni ukiukaji mpya wa kanuni ya ulinzi wa wachache, ambayo inawakilisha wajibu wa maadili au wa kidini ambao tamaduni tofauti zimetambua kwa jumla kwa lengo la kuhakikisha uhai wa vitambulisho tofauti.
Katika Mkutano wa 41 wa Wakuu wa nchi za Ghuba GCC, Saudi Arabia na Qatar zimerejesha mahusiano zikihitimisha “ugomvi” wa miaka mitatu baina ya nchi mbili hizi.
Ulinzi wa Raia wa Syria ulisema kwamba idadi ya kambi za wasio na makao ambazo zimeharibiwa na mvua na theluji katika Gatuzi la Idlib (kaskazini magharibi mwa Syria) zimeongezeka hadi kambi 225, ikiashiria kwamba idadi ya familia ambazo sasa hazina makao imefikia familia 3,200.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon inaomboleza kifo cha mmoja wa wanaume wake miongoni mwa wabebaji ulinganizi, Hajj Majid Zaid (Abu Rami), mkazi wa mji wa Tyre, aliyefariki alfajiri ya leo,
Minbar ya Ummah: Kisimamo cha Watu wa Viungani mwa Aleppo Kaskazini cha Kuinusuru Daraa (Tafas)