Vichwa vya Habari 23/05/2021
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wawakilishi wa Misri waweka juhudi zaidi katika kurefusha muda wa kusitisisha mapigano kati ya Israel na wanamgambo wa Palestina Jumamosi hii, na maafisa wa misaada wametaka uwepo wa hali ya utulivu ili waweze kukabiliana na mzozo wa kibinadamu ulioikumba Gaza baada ya siku 11 za mapigano.



