Hizb ut Tahrir / Wilaya Misri: Kampeni katika Msikiti wa al-Fat’h jijini Cairo
- Imepeperushwa katika Misri
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kampeni katika Msikiti wa al-Fat’h jijini Cairo
Kampeni katika Msikiti wa al-Fat’h jijini Cairo
Ummah wa Kiislamu umepitia kumbukumbu ya maumivu; ni kumbukumbu ya kuvunjwa kwa serikali ya Kiislamu ambayo misingi yake imeanzishwa na Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) mjini Madina, kisha kuendelezwa na Waislamu, kizazi baada ya kizazi.
Huku umma unapoingia katika mwezi mtukufu wa Ramadhan, Hizb ut-Tahrir Kenya ingependa kutuma risala zake za dhati kuwapongeza Waislamu wa Kenya na ulimwengu kwa jumla.
Kama hatua yake mpya ya kukabiliana na janga la kiulimwengu la Virusi vya Korona, serikali imeamua kuyafunga maeneo mawili yenye idadi kubwa ya Waislamu ambayo pia ni vituo muhimu vya kibiashara; Eastleigh Jijini Nairobi na Old Town, Mombasa.
Mara nyingi huweza kuwa ni vigumu kuona hasara, misiba, na mabalaa ikiwemo maambukizi ya sasa, kwa namna yoyote isiyokuwa ile isiopendeza.
Maafisa wa afya wameshughulishwa na matokeo ya kutowiana juu ya Waamerika weusi.
Kama ilivyo katika kila mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu (swt), iwe ni tetemeko la ardhi au mafuriko, Waislamu watukufu wa Pakistan waliitikia kwa subra na upole mtihani wa mkurupuko wa virusi vya Korona (Covid-19).
Hizb ut Tahrir Wilayah Syria: Maandamano Katika Al-Sahara Dhidi ya Nidhamu ya Kimakundi na Bwana Wao Uturuki na Dhidi ya Uovu wa Majeshi ya Usalama na Uchafuzi Wao wa Matukufu!
Vichwa Vikuu vya Toleo 285
Denmark: Pongezi kwa ujio wa Mwezi wa Ramadhan Ulio Barikiwa 1441 H