Mafunzo kutoka kwa Maafa ya Vita vya Bosnia
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwezi huu wa Julai unafikisha mwaka wa 25 tangu mauwaji na halaiki ya Waislamu wa Bosnia eneo la Srebrenica ambayo ni uhalifu uliotekelezwa na Jeshi la Kibosnia la Waserbia, likiongozwa na 'Mchinjaji wa Bosnia', mhalifu wa kivita Ratko Mladic.



