Ghasia Mpakani kati ya China na India
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Shirika la habari la Reuters lilichapisha mnamo 10/06/2020: "…
Milton Friedman, mwanzilishi wa uliberali mpya, aliandika katika kitabu chake juu ya Urasilimali mwaka 1981: Ni mgogoro tu – ima wa kihakika au wa kudhaniwa – huleta mabadiliko ya kweli.
Mnano July 7, 2020 ndani ya Krimea lilipita wimbi jengine la misako na ukamataji ambapo watu 7 waliwekwa kizuizini:
Mandhari ya kisiasa ya Pakistan inazizima kwa minon’gono kuhusu mustakbali wa Waziri Mkuu Imran Khan.
Mawaziri wa fedha na magavana wa Benki kuu wa G-20 wamesitisha uamuzi wa kurefusha mradi wa kuziondolea madeni nchi masikini 73 mbeleni ya mwaka 2020 hadi itakapoamuliwa vinginevyo katika mkutano wao mnamo Oktoba 2020.
Mnamo 2019, Luigi Di Maio, aliyekuwa naibu wa waziri mkuu wa Ufaransa na waziri wa masuala ya kigeni kwa sasa alisema “Ufaransa ni miongoni mwa nchi ambazo zinachapisha fedha kwa nchi 14 za Afrika ikizuilia ukuaji wao wa kiuchumi na kuchangia ukweli kwamba wakimbizi wanatoka na kisha kufa baharini ama kufika katika pwani zetu.”
Ripoti moja iliyo tolewa na Baraza la Kitaifa la Ulinzi wa Raia limefichua uharibifu mkubwa katika baadhi ya maeneo nchini Sudan, kutokana na mvua iliyo nyesha katika siku zilizopita.
Mlipuko mkubwa uliutikisa mji mkuu wa Beirut mchana huu, na baadaye ikadhirika kwamba ulikuwa ni mlipuko katika bandari ya Beirut, katika mojawapo ya mabohari yake, na ilisemekana kuwa ni bohari la 12…
Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Indonesia (HTI), Ustaadh Rokhmat S Labib alisema kwamba suluhisho kwa Wauyghur ni kuwa na amri ya utawala mmoja.
Zaidi ya wanachuoni 600, Masheikh na wahudumu wa Kiislamu, wakiwemo Habayeb na Maprofesa, walishiriki mkutano wa wanachuoni katika eneo la Madura / Java Mashariki, uliosadifiana na kumbukumbu la tukio la Isra na Miraaj ya Mtume (saw).