Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 472
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Umbile la Kiyahudi limeanza tena mauaji yake ya Waislamu wa Gaza. Linajaza angani kwa moshi na moto, huku likiinywesha ardhi kwa damu na machozi ya Waislamu. Umbile la Kiyahudi linapigana vita na wanawake na watoto wetu, huku kambi zake za kijeshi zikiwa ndani ya masafa ya makombora ya Pakistan.
Utawala wa Firauni wa Misri, uliosaidiwa na kuungwa mkono na watawala wa Qatar, iliibuka na kuchukua hatua, chini ya maagizo ya bwana wa umbile la Kiyahudi, na bwana wa Firauni wa Misri, kinara wa ukafiri, Marekani.
Hizb ut Tahrir / Australia iliandaa kisimamo ambacho kiliyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki mara moja kwa ajili ya kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wanyakuzi wauaji.
Hizb ut Tahrir / Malaysia aliandaa maandamano na kuwasilisha waraka wa ukumbusho kutoka kwa Hizb ut Tahrir kwenda kwa jeshi la Malaysia ukiyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki mara moja kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu, kuanzia mto wake hadi bahari yake, kutokana na makucha ya Mayahudi wanyakuzi wauaji.
Hizb ut Tahrir / Uswidi:
Vipi Tutaikomboa Palestina?
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, iliandaa "Matembezi ya Ukombozi" kwa kichwa“Enyi Majeshi ya Waislamu: Na hakika tutawatoa humo na hali wao wamekuwa madhalili na wanyonge” kwa ajili ya kuyataka majeshi ya Waislamu yataharaki kuwanusuru Waislamu wanyonge katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wahalifu wauwaji.
Hizb ut Tahrir/ Uholanzi: Semina
Matembezi katika Mji wa The Hague ya Kuyahamasisha Majeshi ya Waislamu Kuinusuru Gaza!
Hizb ut Tahrir/ Uingereza: Gaza Inaita! Lini Nusra Itakuja?