Wacha Mwaka Mpya wa Kiislamu Utushajiishe Zaidi Katika Majukumu Yetu
- Imepeperushwa katika Tanzania
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunatoa pongezi zetu za dhati kwa Ummah wetu mtukufu kwa kuwasili kwa mwaka mpya wa Kiislamu wa 1440 Hijri. Lakini, hali ,mbaya na ya uchungu ya Ummah wetu ulio barikiwa bado haijabadilika, hata inazidi kuwa mbaya.