Chombo cha Usalama huko Kerkennah Kinawafuatilia Wanaotafuta Kuwaokoa Watu Wetu huko Gaza Wakitoa Wito kwa Majeshi Kuwanusuru, Na Kuwachukulia kuwa ni Washukiwa wa Uhalifu Wanaostahili Kuchunguzwa na Kukamatwa!!
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Huku Gaza ikiungua mikononi mwa umbile halifu la Kiyahudi, na wanawake na watoto wakikatwa vipande vipande kikatili, katika kimya kamili kutoka kwa tawala za Kiarabu zinazosaliti na shirikishi, katika wakati ambapo Palestina; Isra na Mi’raj, Ardhi Iliyobarikiwa, cha kwanza kati ya vibla viwili, inalilia majeshi ya Waislamu kwa ajili ya hatua ya haraka kukomesha uhalifu wa mauaji ya halaiki ambao haukomi.