Tamko la Mwisho la Kongamano la Kila Mwaka la Khilafah 2023 "Kuporomoka kwa Dola ya Usasa na Hakuna Wokovu Isipokuwa katika Dola ya Khilafah"
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mkutano wa kila mwaka wa Khilafah 2023 ulijadili suala la kwanza nyeti na kuu; Uislamu na Khilafah zilikuwa ndio kitovu ambacho hotuba za wazungumzaji zilizunguka juu yake, kwani ni wajibu ambao Mwenyezi Mungu Amewaamrisha Waislamu wote, na kama hadhara badali pekee yenye uwezo wa kuutoa Ummah, na kwa hakika wanadamu wote, kutoka katika matatizo yao.