Jumatatu, 23 Muharram 1446 | 2024/07/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah Pakistan: Mafuriko nchini Pakistani na Muitiko wa Khilafah!

Kuhusiana na muitiko wa dharura kwa mafuriko, Khilafah ingekataa mikopo inayoegemea riba, kuitisha mahitaji kutoka sehemu ambazo hazijaathirika za Ulimwengu wa Kiislamu, kutawataka wanajeshi wa Kiislamu kusaidia badala ya wanajeshi wa Marekani na kuzingatia kikamilifu maafa badala ya kupurukushwa na mivutano duni ya kuwania madaraka.

Soma zaidi...

Al-Waqiyah TV: Je, Tunapaswa Kujibu Vipi Maandamano ya Iran ya Kupinga Hijab?!

Katika muda wa wiki mbili zilizopita, kumekuwa na maandamano kote nchini Iran na katika sehemu zengine za dunia kujibu kifo cha Mahsa Amini, mwanamke wa Kikurdi mwenye umri wa miaka 22, ambaye inasemekana alikamatwa na polisi wa maadili wa Iran kwa kutofinika nywele zake ipasavyo kwa Hijab na kupigwa hadi kufa akiwa chini ya ulinzi wao.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu