Ufaransa na Udanganyifu Wake wa Uhuru wa Kujieleza
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunachokishuhudia nchini Ufaransa ni mgongano wa hadhara.
Tunachokishuhudia nchini Ufaransa ni mgongano wa hadhara.
Maadhimisho ya mwaka wa kwanza ya India kubatilisha Kifungu cha 370 na 35A na kuongeza ukandamizaji wa Waislamu wa Kashmir yamepita kwa maneno matupu ya kawaida ya uongozi wa kiraia na kijeshi.
Katika hotuba kubwa huko Shenzhen mnamo 14 Oktoba 2020, Waziri Mkuu wa China Xi Xinping aliadhimisha kumbukumbu ya miaka 40 ya eneo la kwanza kabisa spesheli la kiuchumi la China (SEZ) ambalo lilikuwa ni kipengee kikuu cha mkakati wa wazi na wa mageuzi wa China.
Mkataba wa amani wa wiki iliopita baina ya dola ya Mayahudi, Bahrain na Imarati ulikuwa ni mchomo ndani ya moyo wa kadhia ya Palestina na ni pigo kwa Ummah wa Kiislamu – ambao kwa kweli unatamka hivi, hamu yetu kuu zaidi ya Ummah ni kana kwamba si halali na isiostahili umoja wa Waarabu na Waislamu.
Suala la Palestina limewachosha Wamagharibi katika jitihada zao za kuweka ‘suluhisho,’ tokea kuundwa kwa umbile la Kiyahudi katika Ardhi Tukufu ya Palestina. Wamagharibi hawakuweza kupandikiza umbile hili kimaumbile ndani ya umbo safi la Ummah wa Kiislamu, bila kupingwa.
Mnamo tarehe 13 Agosti 2020, ‘Israel’ na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zilikubaliana juu ya Mkataba wa Abraham (Abraham Accord).
Mnamo Agosti 19, Krasnoglinsky, Mahakama ya Wilaya ya Samara ilitangaza kuwa juzuu ya kwanza kati ya juzuu tatu ya toleo la tafsiri ya Quran kwa lugha ya Kirusi ya Abd ar-Rahman al-Saadi kuwa ni yenye misimamo mikali.
Serikali ya Kyrgyz kwa Kutapatapa Inajaribu Kulinda Maadili ya Kisekula Kupitia Kuwapiga Vita wale wote Wanaoeneza Fikra za Kiislamu
Tarehe 5 Agosti 2020 inaadhimisha mwaka wa kwanza baada ya kutenguliwa Kifungu cha 370 cha katiba ya India, ambapo Kashmir iliunganishwa rasmi na Muungano wa India.
Kwa kuvunjwa Dola ya Uislamu mnamo 1924 na kwa kukosekana mtawala wa Kiislamu anaye wahami na kuukata kila mkono unaonyoshewa mwanamume au mwanamke Muislamu kwa njia mbaya, mishale inaelekezewa Ummah wa Kiislamu kutoka pande zote.