Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Je, Vijana wa Ummah Huu Waweza Kupatiliza Fursa ya Udhaifu wa Amerika na Kuurudisha Katika Nafasi Inayostahiki

 Vichwa vya habari kama “Je, Amerika Iko Katika Mporomoko?”, “Amerika Iko Katika Kasi Kubwa ya Kuporomoka…”, “Mustakbali: Kuinuka kwa China, Kuporomoka kwa Amerika”, na “Mporomoko Mkuu wa Amerika Huenda Ikawa ni Matumaini Bora ya Kuiokoa Demokrasia” vimekuwa vikijitokeza mara kwa mara pasi na utata.

Soma zaidi...

Maandamano Nchini Iran

Tangu kutokea kwa mapinduzi ya Iran mwaka wa 1979, viongozi wa kidini wa kishi'a wametumia hadhi yao inayo karibiana na ya kiwahyi miongoni mwa raia wa Iran kuwadhibiti na kuwalemaza kuamini kuwa serikali ya Iran imebeba bendera ya Uislamu dhidi ya njama za Kizayuni na Amerika katika kuchukua uongozi wa Mashariki ya Kati.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu