Jumatano, 25 Muharram 1446 | 2024/07/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan Maoni ya Habari 19 Aprili 2023

Pindi Waislamu wanapodai kuhamasika kwa vikosi vyao vya kijeshi ili kuzikomboa Ardhi za Waislamu zinazokaliwa kwa mabavu, watawala husisitiza kuheshimiwa kwa mipaka ya kitaifa. Baada ya kuivunja Khilafah, wakoloni waliweka mipaka ya kitaifa baina ya Waislamu. Waliwagawanya na kuwadhoofisha Waislamu, ili kuhakikisha ukaliaji kimabavu wa ardhi zao.

Soma zaidi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi

Kwa kuamini qadhaa ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Jordan inaomboleza pamoja na Umma wa Kiislamu kwa jumla na watu wa Jordan hasa Shab wa Hizb ut Tahrir, mmoja wa waaminifu wake, wenye subira na wenye matumaini.

Ndugu mtukufu:

Ustadh Omar Faleh At-Tal (Abu Abdullah)

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu