Jumapili, 22 Muharram 1446 | 2024/07/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wako wapi Wanaume?

Mwanachuoni, Sayyid Qutb, katika kitabu chake kwa jina, “Katika Kivuli cha Qur’an” kuhusiana na aya: ﴾وَإِذۡ قَالَ رَبُّكَ لِلۡمَلَـٰٓٮِٕكَةِ إِنِّى جَاعِلٌ۬ فِى ٱلۡأَرۡضِ خَلِيفَةً۬﴿ “Na pale Mola wako Mlezi alipo waambia malaika, ‘Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (mfwatizi).’”

Soma zaidi...

Kifungo cha Miaka 50 kwa Watuhumiwa wa Ugaidi ni Kushindwa kwa Propaganda ya Vita vya Ugaidi Tanzania

Mnamo tarehe 16/12/2022, Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Kanda ya Songea, Kusini mwa Tanzania iliwahukumu Waislamu sita akiwemo kikongwe wa miaka 73 kifungo cha miaka 50 jela baada ya kupatikana na “hatia” ya kuendesha vitendo vya kigaidi na kupanga kuiangusha serikali.

Soma zaidi...

Imarati Yafungua Mlango Kuuza Pombe ili Kushajiisha “Uvumilivu” kwa Haram Hiyo

Mnamo tarehe 3 Januari, 2023, The National iliripoti kwamba Imarati itakuwa ikiondoa ushuru wake wa 30% kwa mauzo ya pombe. Hatua hizo zilielezwa kuwa ni mpango wa kukuza sekta ya utalii na kuimarisha uhamiaji wa msimu wa wageni ambao hushindana na mashirika ya kikanda ambayo yanavutia wageni wasiokuwa Waislamu wanaotafuta starehe katika msimu wa likizo ya kimataifa.

Soma zaidi...

Mwanamfalme wa Uingereza Harry Anawakilisha Vikamilifu Kipote cha Wauaji, cha Kikoloni cha Magharibi

Mnamo Januari 05, 2023, vyombo kadhaa vya habari viliripoti kwamba Mwanamfalme Harry wa Uingereza, mtoto wa Mfalme Charles III, ameandika katika wasifu wake ujao kwamba yeye binafsi aliua watu 25 wakati akihudumu kama rubani mwenza wa helikopta na mwanajeshi wa Jeshi la Uingereza nchini Afghanistan.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu