Sura Mbaya ya Siasa katika Demokrasia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mkutano Mkuu wa UMNO (United Malay National Organization) uliomalizika mnamo tarehe 11 Juni 2023, umeandika historia nyingine kuhusu hali ya kisiasa ya kidemokrasia ya nchi hiyo kwa uwepo wa viongozi wa chama cha Democratic Action Party (DAP) kwenye hafla hiyo.