Hizb ut Tahrir / Australia: Nusra kwa Watu wetu Eneo la Turkestan Mashariki Kisimamo Mbele ya Ubalozi wa China
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kujibu shambulizi la kinyama kwa Waislamu wenzetu wa Uighur Mashariki ya Turkistan yaliyo fanywa na serikali ya China, na pia chini ya muongozo wa Mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al-Rashtah, Amir wa Hizb ut Tahrir, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Australia ulitembelea Ubalozi wa China uliopo jijini Sydney