Minbar ya Ummah: Maandamano katika Kambi za al-Karameh "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu"
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Halaiki ya watu wa kambi za Al-Karamah ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".



