Mateso ya Ummah katika mwaka 2019 – 2020
- Imepeperushwa katika Canada
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
2019 – 2020 umekuwa ni mwaka mwengine wa mateso kwa Ummah wa Kiislamu.
2019 – 2020 umekuwa ni mwaka mwengine wa mateso kwa Ummah wa Kiislamu.
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu – Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume Sehemu ya 46
Vichwa Vikuu vya Toleo 286
Hizb ut Tahrir / Wilaya Syria iliandaa kisimamo kwa anwani "Sisi ni Watu wa As-Sham Waumini Kamwe Hatuwakilishwi na Yule Anayekubali Kuweka Mkono Wake Pamoja na mkono wa Muuwaji Putin!" katika makutano ya Deir Ballut mjini Atmaa viungani mwa Idlib.
Mnamo tarehe 11 Mei 2020 M, ilisadifu kuwa ni kumbukumbu ya nane ya kutekwa nyara Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, ukamataji wake ulitimia katika korokoro za siri za ukandamizaji za vyombo vya usalama.
Wilaya Tunisia: Kisimamo katika Mji Mkuu wa Tunisia Kukemea Kufungwa kwa Misikiti!
Vichwa Vikuu vya Toleo 285
Kuhusiana na janga la ugonjwa wa virusi vya Korona nchini Pakistan, kutakuwepo na matangazo maalum inshaaAllah mnamo Jumamosi 16 Mei 2020 saa 10:30 usiku (PST)
Hizb ut Tahrir Wilayah Syria: Maandamano Katika Al-Sahara Dhidi ya Nidhamu ya Kimakundi na Bwana Wao Uturuki na Dhidi ya Uovu wa Majeshi ya Usalama na Uchafuzi Wao wa Matukufu!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon katika mji wa Sidon imetoa wito wa swala za Ijumaa kufanyika katika uwanja wa wazi mjini humo, miezi kadhaa baada ya kukatizwa kwa swala za Ijumaa.