Jumatatu, 28 Safar 1446 | 2024/09/02
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Barua ya Wazi kwa Mufti na Maulama ndani ya Sultani ya Oman

Muslim aliripoti katika Sahihi yake katika mlango wa: "Ukarimu wa watu wa Oman" kutoka kwa Abu al-Wa'dh Jabir ibn Amr al-Rasibi: Nilimsikia Abu Barzah akisema: Mtume wa Mwenyezi Mungu alimtuma mtu kwa kabila miongoni mwa makabila ya Waarabu. Walimchukia na kumpiga. Akarudi kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na kumsimulia (mateso aliyofanyiwa na watu wa kabila hilo)...

Soma zaidi...

Kwa Watu Wetu wa Sudan na Algeria Tangazeni kuwa: Ni Kwa Ajili ya Mwenyezi Mungu, ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, sio Mashariki au Magharibi, bali ni kwa Serikali ya Khilafah

Hakuna tofauti baina ya mzozo ulioko Sudan na Algeria. Matukio yote yanafanana na yale yaliyotokea Misri kwa namna ambavyo maafisa wakijeshi wachache walivyokuwa makini kusimamisha nguzo za utawala utakao wawezesha kudhibiti shingo za nchi na watu wake.

Soma zaidi...

Matakwa ya Kuachiliwa Huru kwa Mhandisi Naveed Butt, Mtetezi wa Khilafah, Ambaye Angali katika Utekaji Nyara tangu 11 Mei 2012

11 Mei 2019 ni miaka saba tangu Mhandisi Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, alipotekwa nyara na maafisa wa usalama, mbele ya watoto wake na majirani. Katika miaka saba mirefu, Naveed hajaruhusiwa kuwasiliana na familia yake kwa vyovyote vile, hata mara moja, iwe kwa simu au ana kwa ana. Hakika, utekwaji nyara ni mateso ya hali ya juu, yenye kuiadhibu familia pamoja na muumini.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu