Jumatano, 07 Shawwal 1447 | 2026/03/25
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Khilafah ni Tunda Linaloweza Kufikiwa, Basi Harakisheni katika Kulichuma, Enyi Waislamu!

Mwezi wa Rajab huregea kila mwaka na huleta kumbukumbu nyingi zinazowafurahisha Waislamu, lakini mwezi wa Rajab unabeba kwa kizazi hiki cha Umma wa Kiislamu kumbukumbu maalum ambayo haiwezi kupuuzwa, ambayo ni kumbukumbu ya kuvunjwa Khilafah katika mwezi wa Rajab wa mwaka 1342 Hijria.

Soma zaidi...

Ziara ya Ujumbe kutoka Harakati ya Jihad Al-Islami nchini Palestina kwa Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Lebanon

Ndani ya muundo wa ziara za pande zote kati ya Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Lebanon na vyama vya kisiasa vya Lebanon na Palestina, ujumbe wa ndugu katika Harakati ya Jihad Al-Islami nchini Palestina mnamo tarehe 16/2/2022 ukiongozwa na Mkuu wa Mahusiano ya Kiislamu wa Harakati ya Jihad Al-Islami nchini Lebanon Hajj Shakib Al-Ayna,

Soma zaidi...

Tunataka Haki kwa Mahabusu Sio Ahadi za Kilaghai Ambazo Kamwe Hazitekelezwi

Mahakama kwa mara nyingine imewabwaga chini ndugu zetu: Ust Ramadhan Moshi Kakoso (45), Waziri Mkaliaganda (37) na Omar Salum Bumbo (55) wanachama wa Hizb ut Tahrir Tanzania ambao walitekwa, wakabambikiwa kesi ya ‘ugaidi’ na bado wako kizuizini kwa miaka minne na nusu sasa kwa kisingizio cha ‘uchunguzi unaendelea’ huku wakinyimwa haki zao za msingi kama kutembelewa na ndugu zao na kuletewa chakula cha nje ya mahabusu.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu