Jumatano, 01 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Miitiko ya Kisiasa kwa Wadhifa wa Kiislamu wa Hizb ut Tahrir Inathibitisha Kufilisika kwa Demokrasia

Mnamo Oktoba 7, 2022, Hizb ut Tahrir / Denmark ilichapisha kipeperushi chini ya kichwa "Waislamu Wapendwa - Demokrasia iliyokumbwa na mgogoro ni dhidi ya Uislamu wenu. Msishiriki katika tambiko lisilo na maana la uchaguzi!" Mbali na kuashiria mgongano wa wazi kati ya Uislamu na demokrasia, kipeperushi hicho, ambacho kimesambazwa katika miji kadhaa, kina ukosoaji kadhaa wa demokrasia ya kisekula

Soma zaidi...

Ingawa Uwanja wa Kasbah Umegeuzwa kuwa Kambi ya Usalama na Kijeshi Hizb ut Tahrir Yanakili Msimamo wa Kisiasa Kukataa Kuiuza Tunisia kwa Mfumo wa Fedha wa Kimataifa na Mipangilio yake

Serikali ya rais haikutosheka na kutia saini hati ya mpito kwa Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ili kukaza mshiko wake kwa nchi hii na wananchi, wala haikutosheka na kutoa rushwa kwa Chama Kikuu cha Wafanyakazi cha Tunisia kwa ushiriki wake katika uhalifu wa kujisalimiisha kwa masharti ya IMF na dozi yake hatari, wala haikutosheka na kuzua mashtaka ya kidulma na ya kirongo dhidi ya wanachama wa Hizb ut Tahrir kuidhoofisha hizb na kuishughulisha ili isifichue njama zake na duara za kikoloni na zan zao za kifedha. Haikutosheka na yote hayo.

Soma zaidi...

Mauaji ya Nablus, na Ushujaa wa watu wake, Yafichua Wazembe, na Kutuma Ujumbe kwa Majeshi ya Kiislamu!

Mujahidina watano waliuawa shahidi, akiwemo mmoja wa viongozi mashuhuri wa kundi la Areen Al-Asoud (Shimo la Simba), Wadih al-Hawah, na wengine zaidi ya 20 walijeruhiwa kwa risasi za jeshi la Mayahudi. Majeraha ya watano kati yao yalielezewa kuwa mabaya, wakati wa shambulizi kwenye Mji wa Kale wa Nablus.

Soma zaidi...

Maandamano ya Pegida; Chombo Chengine tena Kinachotumiwa Kuhalalisha Chuki Dhidi ya Uislamu

Pegida (kundi la wazungu wazalendo dhidi ya kuenea kwa Uislamu Ulaya) lilitakiwa kuandamana mnamo Jumamosi, tarehe 22 Oktoba 2022, katika eneo la Stationsplein karibu na kituo cha Rotterdam Central ambapo walipanga kuteketeza Qur’an. Mnamo Jumapili, tarehe 23 Oktoba, waliandaa pia kuteketeza Qur’an.

Soma zaidi...

Kwa Ujumbe wa Hamas Uliomzuru Muuaji Bashar “Jitahidini na Iman, pindi Zitakapotokea Fitna katika Ash-Sham”

Kwa masikitiko makubwa, tulishuhudia ujio wa ujumbe wa Hamas na makundi ya Wapalestina unaoongozwa na Khalil Al-Hayya katika ziara rasmi ambayo ni ya kwanza baada ya Hamas kutangaza mnamo Septemba 15 kwamba itarejesha uhusiano wake na utawala haramu wa Baathi na kurejea kifuani mwa mhalifu Bashar, baada ya mpasuko ambao uliendelea tangu 2012, wakati mkuu wa afisi ya kisiasa ya vuguvugu hilo...

Soma zaidi...

Uamuzi wa Kesi ya Mauaji ya Shahzaib ni Uthibitisho wa Kushindwa kwa Idara ya Mahakama ya Pakistan Idara ya Mahakama ya Shariah ya Khilafah ndio Suluhisho Pekee

Mnamo Oktoba 18, benchi la majaji watatu wa Mahakama ya Upeo ilimwondolea mashtaka mshtakiwa Shahrukh Jatoi, kwa mauaji katika kesi maarufu ya mauaji ya Shahzeb. Ingawa hukumu hii ilizua shutuma za umma, haikuwa isiyotarajiwa. Katika makumi ya hukumu za awali, zikiwemo kesi za Nazim Jokhi, Raymond Davis, Abdul Majeed Achakzai, mahakama zimewapa wakoloni na watu wengine wenye nguvu njia ya kutorokea kupitia mianya mbalimbali ya kisheria.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu