Jumamosi, 11 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/14
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Majibu ya Habari

Mada: Hizb ut Tahrir ni Chama cha Kisiasa Kisichofanya Vitendo vya Kisilaha

Sio kwa Kumuogopa Yeyote, lakini kwa Kufuata Mfano wa Mtume (saw)

Tulipitia ripoti yenye kichwa: “Wahubiri, Watu Wenye Msimamo Mkali, na Makundi ya Kidini Watuma Barua za Vitisho kwa Balozi wa Marekani jijini Khartoum...

Soma zaidi...

Umuhimu wa Kuwa na Fahamu Sahihi za Kisiasa kwa ajili ya Kuhuisha Umma wa Kiislamu

Mwenyezi Mungu (s.w.t.) aliteremsha aya hii mjini Madina akizungumzia matendo ya wanafiki ambapo walikuwa wakiwafanyia matatizo Waislamu waliokuwa wakiishi katika Dola ya Kiislamu. Qur’an iliteremshwa kwa ajili ya wanadamu mpaka Siku ya Kiyama, na tunaangalia maana ya jumla ya aya bila ya kuweka mipaka kwenye sababu mahususi ambayo kwayo aya hiyo iliteremshwa.

Soma zaidi...

Wale Wanaotawala na Wanaotaka Kuutawala Ummah Wanatafuta Dhamana ya Mustakbali wao Ubavuni mwa Mabwana zao wa Magharibi

Uturuki: Mwenyekiti wa Chama cha Republican People's Party Kemal Kilicdaroglu alikwenda London, mji mkuu wa Uingereza, kufanya msururu wa ziara. Wakati wa ziara yake nchini Uingereza, Kilicdaroglu alikutana na duara na wawekezaji wa sayansi na teknolojia.

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 16/11/22

Urusi ilianzisha mashambulizi ya anga dhidi ya Ukraine, siku chache tu baada ya kujiondoa kidhalilifu kutoka kwa mji wa Kherson. Kombora moja lilitua katika mpaka wa Ukraine nchini Poland na kuua watu wawili. Kombora hilo lilitua karibu na Przewodow, chini ya maili tano kutoka mpaka wa Ukraine na takriban maili 40 kaskazini mwa Lviv, Ukraine.

Soma zaidi...

Mhimili wa Marekani, Saudi na Iran

Hatua za hivi majuzi za Saudi Arabia kukataa kuongeza uzalishaji wa mafuta kinyume na utawala wa Biden zimesababisha mtafaruku nchini Marekani kwani ilionekana kama ukaidi wa Saudia kwa mshirika wake wa usalama. Ili kudhihirisha uhalisia wa kisiasa, ni muhimu kuelewa taswira pana ya kieneo.

Soma zaidi...

Athari Pana, Hatari za Usalama za Msukosuko wa Kisiasa wa Pakistan

Msukosuko wa sasa wa kisiasa nchini Pakistan kimsingi haukufungika kwenye mzozo kati ya PTI ya Imran Khan na serikali ya PDM. Haijafungika hata kwenye mvutano kati ya vikundi vya jeshi lenye nguvu. Msukosuko wa kisiasa una athari pana zaidi. Inapanuka ili kuwezesha malengo na maslahi ya Marekani katika eneo hili, kwa wakati huu. Hii ni bila kujali kama uwezeshaji huu ni wa kubuniwa kimakusudi, au kwa matokeo ya bahati mbaya, ya kusikitisha.

Soma zaidi...

Kombe la Dunia nchini Qatar: Dosari ya Kihistoria

Katika siku chache, timu ya taifa ya kandanda ya Denmark itasafiri hadi Qatar kuiwakilisha Denmark katika Kombe la Dunia 2022. Wachezaji wa Denmark watacheza wakiwa na nguo nyeusi, ambazo zitaashiria bendi ya maombolezi ambayo inaashiria kutoridhika na serikali nchini Qatar na ambayo inaashiria kwamba Denmark anahudhuria mazishi.

Soma zaidi...

Mfumo wa Kidemokrasia wa Kirasilimali Huzalisha tu Wanasiasa Majanga Pekee

WAZIRABAD: Waziri Mkuu wa zamani na mwenyekiti wa chama cha Pakistan Tehreek-e-Insaf (PTI) Imran Khan na viongozi wengine kadhaa wa PTI walijeruhiwa baada ya mtu mmoja kufyatua risasi karibu na kambi ya mapokezi ya PTI huko Allahwala Chowk wakati wa maandamano marefu ya chama hicho, ARY News iliripoti mnamo Alhamisi.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu