Jumamosi, 28 Muharram 1446 | 2024/08/03
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah Syria: Kisimamo cha Barabara Kuu ya Idlib / Bab Al-Hawaa "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika barabara kuu ya Idlib / Bab Al-Hawaa, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 14/07/2021

Rais wa Uturuki  Recep Tayyip Erdogan amewasiliana na kiongozi mpya mwenza wa ‘Israel’, akimpongeza kwa kuingia madarakani na  kumkumbusha umuhimu wa uhusiano wao wa pande mbili. Erdogan alizungumza na Raisi mpya aliyeapishwa wa ‘Israel’ Yitzak Hertzog kupitia njia ya simu mnamo Jumatatu, 12 Julai. Wakati wa maongezi hayo ya simu, Rais wa Uturuki alisema alimsisitiza dori muhimu ambazo ‘Israel’ na Uturuki zinacheza katika kuhakikisha usalama na utulivu Mashariki ya Kati.

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 21/07/2021

Kulingana na taarifa za vyombo vya habari serikali ya India inajiandaa kutengeza njia ya mawasiliano na Taliban ingawa kwa muda mrefu imekuwa ikiisaidia serikali iliyoongozwa na Rais Ashraf Ghani. Kwa miaka, New Delhi imeisaidia serikali ya Afghan kwa pesa, silaha na wataalamu, na kutoijali harakati ya Taliban na washirka wake

Soma zaidi...

Wilayah Syria: Maandamano ya Kijiji cha Dabeq"Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika kijiji cha Dabeq viungani mwa Aleppo Kaskazini, baada ya swala ya Ijumaa, kwa anwani "Ewe Daraa, Tusamehe (Lakini wakiomba msaada kwenu katika Dini, basi ni juu yenu kuwasaidia) [Al-Anfaal: 72]"

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu