Uzinduzi Rasmi wa Kampeni ya Kiuchumi ya Hizb ut-Tahrir / Kenya Chini ya Kauli Mbiu: Msoto wa Kiuchumi: Uislamu Ndio Jibu.
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Harakati ya Hizb ut-Tahrir Kenya imezindua rasmi kampeni ya kiuchumi itakayodumu kwa mwezi mmoja. Kampeni hii itaanza tarehe mosi ya mwezi mtukufu wa DhulHijja 1442 Hijria sawasawa na tarehe 11 Julai 2021 na kutamatika Agosti 11.