Ni wazi Kutokana na Maelezo ya Usalama wa Kitaifa kwamba Serikali ya Bajwa-Imran Haina Ruwaza Nyengine Ila ya Utumwa kwa Dola za Wakoloni
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 1 Julai 2021, katika Jumba la Bunge, Jenerali Bajwa na Mkurugenzi Mkuu wa ISI, Luteni Jenerali Faiz Hameed, waliuelezea uongozi wa kisiasa juu ya hali ya usalama wa kitaifa, haswa kuhusu Afghanistan.