Tanzia ya Wabebaji Ulinganizi Wawili
- Imepeperushwa katika Jordan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 28 Juni 2021, Bloomberg iliripoti kwamba India imeelekeza angalau vikosi 50,000 vya ziada mpakani mwake na China, na kuongeza uwepo wa askari huko hadi 200,000, juu na zaidi ya asilimia 40 kutoka mwaka jana, katika mabadiliko ya kihistoria katika msimamo wa kijeshi wa kiushambulizi.
Kufuatia kampeni ya kilimwengu inayoendelea ya kunyakuliwa Naveed Butt, msemaji wa Hizb ut Tahrir, Wilaya ya Pakistan ambaye alitekwa nyara na shirika la kijasusi la Pakistan zaidi ya miaka 9 iliyopita.
Kwa kushikilia mila yao ya zamani ya kuudanganya Ummah, waziri wa mambo ya nje, wizara ya mambo ya nje na maafisa wengine wa serikali waliwarusha vumbi machoni mwa Waislamu, wakikanusha kwa nguvu kuwepo kwa kambi ya kijeshi ya Amerika.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi mkabala na kijiji cha Ataa kwa anwani: "Hakika Limekwisha Semwa na Watu Wetu Huko Hauran;Tutazisalimisha Roho na Wala Hatutazisalimisha Silaha!"
Jumamosi, Juni 26, 2021, Hizb ut Tahrir katika Ardhi Iliyobarikiwa - Palestina iliandaa maandamano mawili makubwa huku kukiwa na hasira iliyoibuka baada ya mwanaharakati wa kisiasa,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh inatoa rambi rambi zake za dhati kwa Waislamu waliofiwa wa wilaya ya mbali ya milima ya Bandarban ya Bangladesh ambao wamempoteza kiongozi wao mhamasishaji Omar Faruk Tripura, Mwislamu mwenye umri wa miaka 55 aliyeuawa mbele ya nyumba yake kama shahidi (inshaAllah) mikononi mwa maadui wa Uislamu.
Leo ni tarehe 26 Juni 2021 na Malaysia imefungwa kabisa (Movement Control Order 3.0) kwa karibu mwezi sasa. Kufungwa huku kunahusisha marufuku ya jumla ya harakati za watu na mikusanyiko kote nchini.