Vichwa vya Habari 25/9/2020
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baada ya kupungua kwa kasi kutoka kwa kilele cha msimu wa joto mwanzoni mwa Septemba, visa vipya vya COVID-19 vinaonekana kuongezeka tena Amerika.
Baada ya kupungua kwa kasi kutoka kwa kilele cha msimu wa joto mwanzoni mwa Septemba, visa vipya vya COVID-19 vinaonekana kuongezeka tena Amerika.
Swali kwa Sheikh wetu katika Shakhsiya Juzuu ya Tatu ukurasa wa 301 msitari wa tatu na wa pili unasema: ama matagaa (furu') hukadiriwa kutoyafuata kuwa ni uovu basi hivyo haiitwi uongofu, niliambiwa kwamba neno "upotofu" linapaswa kuwekwa badala ya neno "uongofu.
Mkataba wa amani wa wiki iliopita baina ya dola ya Mayahudi, Bahrain na Imarati ulikuwa ni mchomo ndani ya moyo wa kadhia ya Palestina na ni pigo kwa Ummah wa Kiislamu – ambao kwa kweli unatamka hivi, hamu yetu kuu zaidi ya Ummah ni kana kwamba si halali na isiostahili umoja wa Waarabu na Waislamu.
Taarifa ya habari za Manilla imeripoti wakulima tisa wa Kiislamu wa Moro wameuawa huko Kabacan, Cotabato kaskazini, Ufilipino tarehe 29 Agosti 2020.
Septemba 11, 2020 inaashiria kumbukumbu ya miaka 19 ya shambulio la 9/11, ambalo linachukuliwa kuwa tukio baya zaidi lililotokea kwenye ardhi ya Amerika.
Hizb ut-Tahrir alifanya amali kadhaa katika wiki iliyopita, huku wiki iliyopita ikianza mnamo Septemba 11, 2020 , kwa hotuba kubwa huko Omdurman kaskazini kwa anwani:
Utawala wa Marekani umeitaka Kenya kuunga mkono maslahi ya kisiasa na kibiashara ya taifa la ‘Israel’ la sivyo iachane kabisa na mkataba wa kibiashara huria (Free Trade Deal- FTA) iliosaini na taifa hilo kubwa la kiuchumi duniani.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Sudan inafurahi kuwaalika kuhudhuria kikao cha Kadhia za Ummah, na ni heshima kwake kushiriki kwenu ndani ya mkusanyiko wa wanasiasa, wanahabari, na watu wa maoni,
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imekataa pingamizi dhidi ya 'uamuzi wa kutoihukumu 'Israel' uliochukuliwa na Afisi ya Mashtaka kuhusiana na meli ya Mavi Marmara ambayo Waturuki 9 waliuwawa.
Maandamano yamezuka wiki hii nchini Misri. Katika majimbo ya Al-Qanater, Qalyubia, waandamanaji waliandamana kupitia vichochoro ili kukomesha kushambuliwa na vikosi vya usalama.