Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 292
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Vichwa Vikuu vya Toleo 292
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni hii ya kiulimwengu kuadhimisha Ukombozi wa Konstantinopoli iliyo zingirwa kuanzia 26 ya Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili hadi 29 Mei 1453 M.
Serikali ya Bajwa-Imran imewasilisha mswada katika Bunge la Kitaifa kurekebisha Sheria ya NEPRA ya 1997, kwamba NEPRA (Mamlaka ya Kitaifa ya Udhibiti wa Umeme) inaweza kutoza ada ya ziada kwa watumiaji umeme ipendapo.
Jioni ya tarehe 16 Juni 2020, karibu vikosi ishirini vya India viliuawa na Wachina, wakati wa taharuki ambazo zinatoa fursa nzuri ya kusimamisha tena Khilafah nchini Pakistan.
Ni takriban majuma 12 sasa misikiti kote nchini imefungwa kwa ajili ya swala za Ijumaa tangu kushadidiwa kwa Amri ya Kudhibiti wa Matembezi (MCO) iliyo tolewa na Serikali.
Baada ya majuma mawili ya kuendesha kampeni "Funga Viwanda vya Pombe", , Hizb ut Tahrir / Malaysia (HTM) leo ilikabidhi waraka wa wazi kwa Mamlaka nyingi za Miji kote nchini, ikizisihi kwamba leseni zote za viwanda vya pombe na maduka, zifutiliwe mbali na kusitolewe leseni mpya kwao.
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan ulimzuru Ammi Sadiq, (Mwenyezi Mungu Amrehemu) ambaye ni miongoni mwa kizazi cha kwanza nyumbani kwake mnamo Jumanne, 16 Juni 2020 M. Ujumbe huo ulimjumuisha:
Hizb ut Tahrir / Tanzania imezindua amali zake katika kampeni hii ya kiulimwengu. .Sifa njema zote anastahiki Mwenyezi Mungu (swt).
Hizb ut Tahrir / Amerika imezindua amali zake katika kampeni hii ya kiulimwengu. .Sifa njema zote anastahiki Mwenyezi Mungu (swt).
Katika kuitikia maelekezo ya mwanachuoni mkubwa Ata Bin Khalil Abu al- Rashtah, Amiri wa Hizb ut Tahrir, ujumbe wa Hizb ut Tahrir ulitembelea Ubalozi wa China jijini Brussels kukabidhi taarifa kwa vyombo vya habari iliyo tolewa na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir kwa anwani: