Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hotuba ya Modi Siku ya Uhuru wa India ni Tangazo Kuhusu Kuchukua Uongozi wa Kanda. Ima Tusimamishe Khilafah au Tuwe Watumwa wa Dola ya Kibaniani

Akizungumza katika Siku ya Uhuru wa Dola ya Kibaniani, Mchinjaji wa Gujarat na Waziri Mkuu wa India, Narendra Modi, alisema, "Sote tunajua kwamba nchi yetu ilivamiwa (na Waislamu) miaka 1200 iliyopita. Jimbo dogo (Sindh) na mfalme wake (Raja Dahir) walishindwa.

Soma zaidi...

Serikali Inachapisha Mabilioni ya Noti za Sarafu ambazo Zinachochea Moto wa Mfumko wa Bei, na Kisha Kumwaga Machozi ya Mamba huku Watu Wakichomeka ndani ya Moto wake!

Bei ya umeme imeongezeka kwa Rupia 18 kwa kila kipimo tangu Julai mwaka jana. Leo umeme, pamoja na ushuru, ni Rupia 50 kwa kila kipimo. Bei za petroli zinagusa Rupia 300 kwa lita. Kiwango cha mfumko wa bei kiko kiwango cha juu katika historia ya Pakistan.

Soma zaidi...

14 Agosti, Risala ya Siku ya Uhuru Waislamu wa Pakistan, Bangladesh na Afghanistan Lazima Wasimamishe Khilafah ili Kuwaunganisha na Kukabiliana na Tishio Kubwa la Muungano wa Marekani na India

Baada ya kugawanya India mnamo 14 na 15 Agosti 1947, mamilioni ya Waislamu waliobaki nchini India sasa wanateseka sana chini ya kasumba ya dhehebu ya "Hindutva", ili Modi aweze kushinda uchaguzi.

Soma zaidi...

Chini ya Uchumi wa Sasa wa Kibepari, ni Kipote cha Wacheche tu ndio Hufaidika na Miradi ya Maendeleo. Ni Chini ya Kivuli cha Khilafah Pekee, ndipo Miradi Italeta Ustawi kwa Maisha ya Watu

Mnamo 1 Agosti, 2023, Mkutano wa Madini wa Pakistan 2023 uliandaliwa kwa pamoja na Wizara ya Petroli na shirika la Barrack Gold Corporation. Katika hotuba yake, Waziri wa Kawi, Idara ya Petroli, Dkt. Musadik Malik aliwaalika wawekezaji wa kigeni kuwekeza katika sekta mbali mbali za Pakistan, haswa madini na uchimbaji madini.

Soma zaidi...

Utoaji wa Marekani wa Silaha za Kisasa kwa India ili Kukabiliana na China, ni Tishio la Moja kwa moja kwa Usalama wa Pakistan. Je! Uongozi wa Kisiasa na Kijeshi wa Pakistan utaendelea hadi lini Kuamiliana na Marekani kama Mshirika, Wakati ni Adui wa

Baada ya mkutano kati ya Joe Biden na Narendra Modi mnamo tarehe 22 Juni 2023, taarifa ya pamoja ilitolewa na Marekani na India, ambayo imezua wasiwasi ndani ya jumuiya ya kimkakati ya Pakistan. Tangazo hili linathibitisha tena ushirikiano wa kina katika mahusiano ya Marekani na India.

Soma zaidi...

Umma wa Kiislamu kamwe "hautahalalisha mahusiano" ya ukiukaji matukufu. Badala yake, Khilafah Itaifunga Mikono na Ndimi Ovu Kunyamaza Kimya

Nchi za Magharibi zinaushambulia Uislamu bila kuchoka. Zinachafua heshima ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw), kwa kuchora katuni, na kuchoma Quran Tukufu. Hii ni ili Waislamu wasiwe na hisia na "kuhalalisha mahusiano" na ukiukaji wa matukufu ya Uislamu. Msururu huu wa mashambulizi ulianza katika zama za hivi karibuni na Salman Rushdie na Taslima Nasrin.

Soma zaidi...

Mpango wa Kufufua Uchumi Hauwezi Kumaliza Mgogoro wa Kiuchumi Unaokua. Mpango huo tiifu kwa Mfumo wa Kimataifa wa Kibepari. Inafungua Njia kwa Ukoloni Zaidi wa Kiuchumi wa China kwa Pakistan

Taarifa moja kwa vyombo vya habari iliyotolewa na serikali ya Pakistan mnamo Juni 20, 2023 ilitangaza mpango mpya wa kufufua uchumi. Kimsingi unaungwa mkono na uongozi wa jeshi, na kupewa lakabu ya "Kanuni ya Asim Munir."

Soma zaidi...

Khilafah Pekee ndiyo Inayoweza Kutatua Mgogoro Unaoendelea wa Uhaba wa Fedha katika Uchumi wa Pakistan

Serikali za Pakistan mtawalia zimekabiliwa na changamoto ya upungufu wa fedha. Inamaanisha kuwa serikali ina uhaba wa rasilimali za kutumia kwa ajili ya watu. Uhaba huu wa rasilimali unaoikabili serikali ni matokeo ya moja kwa moja ya miundo ya utawala wa kiuchumi inayotekelezwa nchini. Kipote cha watawala wa Pakistan kinatabikisha mtindo wa uchumi wa kirasilimali nchini.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu