IMF: Chombo cha Matatizo ndani ya Mfumo wa Kinyonyaji wa Kibepari
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ni taasisi ambayo wengi ya watu katika nchi zinazoendelea wanaitambua.
Mfuko wa Fedha wa Kimataifa (IMF) ni taasisi ambayo wengi ya watu katika nchi zinazoendelea wanaitambua.
Huku Ulimwengu wa Kiislamu ukiporomoka katika uchumi na usalama, Waislamu wanatafuta njia ya kutokea. Hivi sasa Waislamu wamegawanyika katika dola za kitaifa hamsini na saba, ambapo hali hiyo imewadhoofisha.
Mjadala mkuu sasa ni jinsi ya kuondoka Pakistan, haraka iwezekanavyo. Pakistan inazama kwa kasi, kiuchumi na kiusalama. Kwa nini tusiruke meli, sasa, kabla hatujazama?
Maafisa na askari wa Kikosi Maalum (Special Services Group/SSG) ni miongoni mwa kikosi bora zaidi duniani. Heshima yao imejengwa katika mashindano ya kimataifa na pia katika medani ya mapambano. Wanatia hofu katika nyoyo za maadui wa Uislamu.
Tokea wakati wa majanga ya vita vya Iraq na Afghanistan na kuibuka kwa China, wengi walizingatia kuwa kipindi cha kuwepo dola kuu moja pekee kina malizika. Wengi wanazingatia nguvu ya Marekani kidunia inaporomoka na kutaja hili kuwa ni dalili muhimu ya kumalizika kwa dunia yenye dola kuu moja.
Gazeti la Express Tribune liliripoti mnamo Jumatatu, Agosti 07, 2023 kwamba "uwekezaji wa China chini ya Ukanda wa Uchumi wa China na Pakistan (CPEC) ulifikia dolari bilioni 30, huku awamu ya pili ya mradi huo mkubwa itafungua mtazamo zaidi wa ushirikiano wa nchi mbili, Waziri Mkuu Shehbaz Sharif alisema.”
Tokea mwanzo ulipoanguka Umoja wa Kisovieti na kuvunjika kwa Muungano wa Warsaw, NATO ikawa ni chombo kinachoyumba, kisicho na usukani – lakini ilikuwa ni kwa muda tu. Marekani ikawa inasumbuka juu ya nini cha kufanya baada ya kuanguka kwa Ukuta wa Berlin na kuwa ni mwisho usiopingika wa Vita Baridi.
Marekani iliondoa vizuizi vyote wakati Waziri Mkuu wa India Narendra Modi alipozuru Marekani mwishoni mwa Juni katika ziara rasmi ya kiserikali. Modi, ambaye wakati fulani alinyimwa visa ya kusafiri kwenda Marekani kwa sababu ya wasiwasi juu ya haki za binadamu, alikula na kulala katika Ikulu ya White House na hata kuhutubia kikao cha pamoja cha Bunge la Congress.
Baada ya hisia kali za umma, Waziri Mkuu wa Pakistan Shehbaz Sharif alitoa wito wa maandamano ya nchi nzima mnamo tarehe 7 Julai 2023 ili kutetea utakatifu wa Qur'an Tukufu, na kuandamana dhidi ya tukio la hivi majuzi la kudhalilishwa kwake nchini Uswidi.
Kuwataja watu wakubwa wa historia ya Uislamu, sio kama kutaja habari za kale zozote za “mashujaa” wa kihistoria. Tafauti baina ya historia ya Waislamu watukufu na “mashujaa” wa historia ni kuwa usomaji wa habari za Waislamu watukufu ni kwa sababu ya kufuata mifano yao. Tunafuata nyayo zao, na kuchukua mafunzo kutoka kwenye matendo yao ya kishujaa.